Ili kukamilisha moduli hii na kupakua cheti unapaswa kufanya jaribio la baada ya kumaliza kusoma moduli. Bofya kitufe kilicho hapa chini ili kufanya jaribio hili. Unapaswa kupata alama 60% au zaidi ili kufaulu jaribio hii.
Utangulizi wa jaribio la Upimaji wa hisia za kusikia na kuonaa za kusikia na kuona baada ya moduli
Muhtasari wa Jaribio
0 ya 15 Maswali yamekamilika
Maswali:
taarifa
Tayari umekamilisha jaribio hili hapo awali. Huwezi kuanza tena.
Jaribio linafunguka...
Lazima uingie kwenye akaunti yako au jisajiri ili uweze kuanza kufanya jaribio.
Kwanza Unapaswa kukamilisha yafuatayo:
Matokeo
Matokeo
0 kati ya maswali 15 yamejibiwa kwa usahihi
Muda umepita
Umefikisha pointi 0 kati ya pointi 0, (0)
Pointi (s): 0 ya 0, (0)
0 Insha (s) Inasubiri (Pointi zinazoweza kupatikana): 0)
Makundi
- Ambazo hazijawekwa kwenye makundi0%
-
Oh pole, haukufanya vizuri katika jaribio hili! Unaweza kuhitaji kusoma tena kwa haraka haraka kabla ya kurudia kufanya jaribio hili kwa mara nyingine.
Rudi kwenye Utangulizi wa Upimaji wa hisia za kuona na uwezo wa kusikia
-
Bahati mbaya haukufaulu jaribio hili na unaweza kusoma moduli kwa haraka kabla ya kujaribu kwa mara nyingine
Rudi kwenye Utangulizi wa Upimaji wa hisia za kuona na uwezo wa kusikia
-
funga! Haukufaulu jaribio.Je, unahitaji kujaribu tena?
Rudi kwenye Utangulizi wa Upimaji wa hisia za kuona na uwezo wa kusikia
-
Hongera sana! Umefaulu jaribio hili!
Rudi kwenye Utangulizi wa Upimaji wa hisia za kuona na uwezo wa kusikia
- 1
- 2
- 3
- 4
- 5
- 6
- 7
- 8
- 9
- 10
- 11
- 12
- 13
- 14
- 15
- Sasa
- Fanya tathmini
- Amejibu
- Sahihi
- Sio sahihi
-
Swali 1 Ya 15
Swali 1.
Ni kitu gani kati ya haya yaliyoelezwa hapo chini;hakiathiriwi iwapo mhusika ana changamoto katika kuona au uwezo wa kusikia?
Chagua jibu moja.
-
Swali 2 Ya 15
Swali 2.
Je, kwanini ni muhimu kupima uoni na uwezo wa kusikia?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 3 Ya 15
Swali 3.
Watoto wa umri wa kwenda shule wanapaswa kupimwa hisia za kusikia na uwezo wa kuona mapema iwezekanavyo.
-
Swali 4 Ya 15
Swali 4.
Je, kwa nini ni muhimu kumpima mtoto afya ya macho na uoni?
Chagua majibu mawili.
-
Swali 5 Ya 15
Swali 5.
Upimaji hutoa utambuzi wa ugonjwa
-
Swali 6 Ya 15
Swali 6.
Je, ni wakati gani upimaji unapaswa kufanyika?
Chagua jibu moja.
-
Swali 7 Ya 15
Swali 7.
Watoto ambao tayari wanajulikana kuwa na matatizo ya uoni au matatizo ya uwezo wa kusikia hawana haja ya kushiriki kwenye Upimaji wa hisia za kusikia na kuonaa za kusikia na kuona.
-
Swali 8 Ya 15
Swali 8.
Ni watu gani wanahitajika siku ya upimaji?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 9 Ya 15
Swali 9.
Je, ni kuna faida gani kufanya kwa pamoja upimaji wa uoni na uwezo wa kusikia?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 10 Ya 15
Swali 10.
Je, katika mambo yaliyoelezwa hapa chini, ni yapi muhimu kabla ya kupanga tarehe ya kufanya programu ya upimaji?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 11 Ya 15
Swali 11.
Je, kwa nini ni muhimu kufuatilia rufaa?
Chagua majibu mawili.
-
Swali 12 Ya 15
Swali 12.
Je, ni kikwazo gani kati ya vikwazo vifuatavyo kinaweza kuwafanya wazazi/walezi kutokuwapeleka watoto kwenye miadi ya rufaa?
Chagua majibu manne.
-
Swali 13 Ya 15
Swali 13.
Je, ni kikwazo kipi kati ya vikwazo vifuatazo kinaweza kuwafanya wazazi/walezi kukataa kutoa ridhaa kwa mtoto wao kushiriki katika upimaji?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 14 Ya 15
Swali 14.
Je, ni hatua gani kati ya zifuatazo zinazofanywa siku ya upimaji?
Chagua majibu matatu sahihi.
-
Swali 15 Ya 15
Swali 15.
Je, ni fomu gani inatumika kuwajulisha wazazi/walezi kuhusu matokeo ya upimaji?
Chagua jibu moja.
Tafadhali tujulishe kama unaridhia taarifa ilizokusanywa Wakati wa mafunzo haya itumike kwa shughuli za utoaji wa taarifa na utafiti wa baadaye.
Jibu "ndiyo" au "hapana" kwa kila Swali hapa chini. Hata kama utachagua jibu sahihi kama "hapana",bado unakaribishwa kuendelea na mafunzo.